Fahamu Mbinu Za Asili Za Kukabiliana Na Uvimbe Wa Tezi Dume, Ni Suluhisho La Kudumu Bila Kufanyiwa Upasuaji, Na Kwa Wale Walio Fanyiwa Upasuaji Bila Uvimbe Kujirudia Tena. Kama Wewe Ni Mwanaume Unaejali Afya Yako Ujume Huu Unakuhusu.
Mpendwa msomaji, Pata suluhisho la kudumu kwa uvimbe wa TEZI DUME, bila UPASUAJI……… Uweze kukojoa kwa urahisi bila maumivu na kujikamua….
Uondokane na usumbufu wa kuamka mara kwa mara usiku kukojoa na Kulala usingizi mzuri….
Ufurahie safari na matembezi bila wasiwasi wa kubanwa na mkojo…
Ufurahie tendo la ndoa na mke wako….
Basi soma kila neno bila kuruka, katika ukurasa huu kwa makini kwasababu……
Unakaribia Kugundua Suluhisho La Kipekee, Na Salama Kabisa Kwa Afya Yako…
Lililothibitishwa na wataalamu wa afya kuyeyusha uvimbe wa tezi dume haraka kama vile mafuta yaliyoganda yanavyoyeyuka kwenye kikaangio cha moto!
Kwa Majina Naitwa Mr. Rashid... Nimekuwa nikiwasaidia wagonjwa wengi wa uvimbe wa tezi dume kwa miaka mingi sasa. Najua kwa undani jinsi gani tatizo hili linavyoweza kuchosha, maumivu na usumbufu maishani mwako. Nimeona wagonjwa wakijitahidi sana kutafuta suluhisho, wakipoteza muda na pesa kwa njia ambazo hazijawahi kuleta matokeo wanayotarajia. Wengi wamejaribu mitishamba, wakitumaini kwamba itawasaidia, lakini mwisho wa siku wanajikuta wakiwa katika hali mbaya zaidi. Wengine wamekuwa wakitegemea dawa za hospitali kwa miaka mingi, wakimeza vidonge kila siku bila kuona mabadiliko yoyote ya maana. Wakati mwingine, wanashauriwa kufanya upasuaji, lakini hata baada ya hayo yote, uvimbe unarudi tena, ukiwa mkali zaidi kuliko mwanzo. Nimejionea jinsi wagonjwa walivyokata tamaa baada ya juhudi zao zote kugonga mwamba.
Angalia Video Hii Ya Dr. KIVA MVUNGI
Jifunze Jinsi Gani Tezi Dume Linavyotesa na Kuwa Hatari Kwa Afya Yako!
Hivyo basi...........
Nilipoanza kuwashauri wanaume wenye changamoto ya tezi dume kutumia dawa ambazo zimehakikishwa na wataalam na zenye matokeo ya ajabu kupambana na tezi dume. Wiki moja baada ya kutumia dozi, waliripoti kuboreka kwa hali zao, safari za usiku kwenda kukojoa zikapungua, na hali ya kukojoa kwa kujikamua ikaanza kupotea. Baada ya mwezi mmoja, wengi walirudi kunipa shukrani zao, wakisema tatizo limeisha kabisa. Kwa sasa, nina furaha kusema kwamba wagonjwa wangu ambao wamepata huduma kutoka kwangu hawajawahi kurudi na malalamiko ya uvimbe wa tezi dume kurudi tena. Je, Unafahamu kuwa……… Wanaume wenye umri wa miaka 45 na kuendelea wako kwenye hatari ya kupata uvimbe wa tezi dume. Uvimbe huu ni wa polepole, na wengi hawajui kuwa upo mpaka madhara yanapojitokeza.
Lakini Kumbuka……. Kuna kundi kubwa la wanaume ambao tayari wanakumbana na changamoto za kukojoa. Dalili kama kukojoa mara kwa mara, mkojo kutokamilika, na maumivu wakati wa kukojoa zinaweza kuanza ghafla tu. Wengi wanaamini kwamba dalili hizi ni sehemu ya kuzeeka, lakini ukweli ni kwamba ni ishara za uvimbe wa tezi dume ambao unaweza kuwa na madhara makubwa zaidi kama hautadhibitiwa mapema.
Ni Kwanini Ni Muhimu Kuchukua hatua ya matibabu mapema? Uvimbe wa tezi dume unaweza kuzidi, na matokeo yake ni ya hatari sana kwa afya yako. Ni muhimu kuchukua hatua mapema ili kulinda afya yako. Usisubiri mpaka hali iwe mbaya……. Na mbaya zaidi………… Upasuaji unakuacha na kidonda ambacho kinaweza kusababisha maumivu makali, ukikojoa mkojo unatoka na damu na pia kupelekea upungufu wa nguvu za kiume.
Tazama Video ya Dkt. Janabi:
Fahamu Kwa Kina Jinsi Upasuaji wa Tezi Dume Unavyoweza Kuathiri Afya Yako ya Uanaume!
Je, Unajua? Kuchelewesha matibabu ya tezi dume kunaweza kupelekea hatari kubwa zaidi, ikiwemo saratani ya tezi dume……! Saratani hii ni moja ya magonjwa hatari ambayo yanapozidi kukua, yanahitaji hatua kali za tiba. Na pia, kufikia hatua fulani, upasuaji wa tezi dume unaweza usiwezekane tena. Lakini kuna jambo lingine la muhimu zaidi la kufahamu…….. Unapochelewa kupata matibabu ya tezi dume, utalazimika kuondolewa korodani. Hii ni hatua ya mwisho inayochukuliwa pale ambapo tezi dume imekua kupita kiasi na imeshindwa kudhibitiwa. Kwa nini korodani ziondolewe? Korodani zina uhusiano wa moja kwa moja na tezi dume. Vichochezi vinavyosababisha tezi dume kuongezeka kwa ukubwa vinatolewa na korodani. Kwa hiyo, wakati mwingine, korodani lazima ziondolewe ili kuzuia maumivu na madhara makubwa zaidi ambayo yanaweza kutokea.
Lakini cha kushangaza zaidi! Usidhani kuondolewa korodani ni tiba kamili ni njia tu ya kuzuia maumivu na madhara zaidi, lakini si suluhisho la tatizo. Usisubiri ugonjwa uzidi. Chukua hatua sasa ili kuepuka madhara haya makubwa sasa hivi na kuokoa maisha yako. Pata matibabu sahihi kwa tezi dume mapema iwezekanavyo. Karibu nikueleze zaidi kuhusu tiba hii ya kipekee ambayo inaweza kubadilisha maisha yako pia…………. Jambo la Kipekee Kutoka Bright Future Pharmaceutical Laboratories:
Niugunduzi wa Kisababishi cha Uvimbe wa Tezi Dume! Katika juhudi zao za miaka mingi, Bright Future Pharmaceutical Laboratories wamefanya ugunduzi wa kisayansi wa kipekee, ambao umebadilisha kabisa jinsi tunavyokabiliana na tatizo la uvimbe wa tezi dume. Ukweli Ni kwamba …………… Shirika hili la kimarekani limeweza kugundua moja ya visababishi vikuu vya tatizo hili ni Dihydrotestosterone (DHT). Ugunduzi huu umepelekea kuundwa kwa vidonge vya asili kabisa, ambavyo vina uwezo wa kuyeyusha uvimbe wa tezi dume bila madhara yanayoambatana na matibabu. Fahamu Zaidi……………. Hii ni njia mpya na salama ambayo haijawahi kutokea kabla. Vidonge hivi vya asili havisaidii tu kuyenyusha uvimbe, bali pia kuzuia uvimbe huo kujirudia tena.
Kupandisha kinga ya mwili kwa wenye changamoto ya kinga kua chini. Kuondoa madhara yote kwa yule aliye fanyiwa matibabu ya mionzi au chemotherapy. Kuongeza nguvu za kiume. Unajua kua.................. Uvimbe wa tezi dume unavyozidi kuongezeka, mrija wa kutoa mkojo unaweza kuzibwa kabisa, na kibofu kinapoteza uwezo wake wa kutunza mkojo. Hatua hii ni ya hatari sana, kwani itakufanya usiwe na uwezo wa kukojoa tena. Mkojo utaendelea kuzalishwa na figo, na kama hautatolewa, figo zako zinaweza kuathirika na kujaa mawe.
Nakupelekea kuwekewa mpira wa kutoa mkojo nje kama inavyo onekana kwenye picha apa chini.

Hatua ya Kuchukua……….. Ndiyo maana ni muhimu sana kuuwahi uvimbe wa tezi dume kabla haujaanza kuleta madhara makubwa mwilini. Hatua za mapema zinaweza kuzuia hali kuwa mbaya zaidi, na kukusaidia kuepuka matibabu makubwa kama kutoboa mrija wa mkojo, kuondolewa kwa korodani au madhara ya kudumu kwenye figo.
Pia tezi dume inapo geuka nakua saratani hupelekea maumivu makali ya viungo Kwa sababu kuna majimaji yanayo zalishwa yanaenda kuharibu mifupa yako. Je umeanza kupata maumivu ya magoti, nyonga na mgongo??
Usisubiri mpaka uwe na dalili kali anza kuchukua hatua sasa ili kulinda afya yako kwa siku za usoni.
Jinsi Dihydrotestosterone (DHT) Inavyosababisha Uvimbe wa Tezi Dume…………
DHT Nikisababishi Kikuu cha Uvimbe wa Tezi Dume Dihydrotestosterone ndio inachochea makuzi ya tezi dume tangu siku unazaliwa, na inabaki na jukumu hili hadi uzeeni.
Bila DHT, tezi dume yako isingekua. Lakini tatizo linaanza pale ambapo DHT inaendelea kuichochea tezi dume hadi inatanuka kupita kiasi, na kusababisha uvimbe.
Kwa Nini Uvimbe Unarudi Baada ya Upasuaji…?
Ukifanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe, tatizo haliondoki kabisa. Unajua ni kwanini uvimbe unarudi tena?? Hebu tazama huu mfano ili kuelewa kwanini baada ya Upasuaji uvimbe wa tezi dume unarudi tena.
Fikiria uvimbe wa tezi dume kama mti unaoota haraka.
Unapoukata mti huu kwa kukata matawi au shina lake, bado unaweza kuchipuka tena kwa sababu mizizi yake ipo.
Vivyo hivyo, upasuaji wa tezi dume unaondoa sehemu ya uvimbe, lakini bila kudhibiti mizizi (chanzo halisi), uvimbe utarudi tena na tena.
Njia pekee ya kuzuia kabisa ukuaji wa uvimbe ni kwenda kuondoa kisababishi halisi cha uvimbe wa tezi dume.
Bila kudhibiti DHT. hutosalimika na tatizo la uvimbe wa tezi dume kwenye maisha yako.
Hii inamaanisha uvimbe utajirudia, labda hata kwa nguvu zaidi.
Chanzo cha DHT Mwilini Mwako ni homoni ya kiume iitwayo Testosterone. Katika mwili wako, kuna enzyme maalum inayoitwa 5-alpha Reductase ambayo inageuza Testosterone kuwa Dihydrotestosterone(DHT) Hii ni kama mashine inayosaga mahindi na kuyageuza unga ikiwa mashine inafanya kazi haraka, unga utazalishwa kwa wingi.
Hivyo hivyo, kama 5-alpha Reductase inafanya kazi kwa kasi, DHT nyingi itazalishwa, na uvimbe wa tezi dume utaendelea kukua kwa kasi.
Suluhisho…….. Nikuudhibiti Uzalishwaji wa DHT ili kuzuia uvimbe wa tezi dume kuendelea kukua na kuleta madhara, ni lazima udhibiti mashine hii 5-alpha Reductase.
Kwa kudhibiti uzalishaji wa DHT, unazuia makuzi yasiyohitajika ya tezi dume yako, na hivyo kupunguza na kuondoa kabisa uvimbe. Kwa maneno mengine, 5-alpha Reductase sio rafiki yako mzuri kama una uvimbe wa tezi dume. Nini kifanyike ili kuepukana na changamoto ya tezi dume ….. Nikupata hii program maalumu ya “ProstGuard Program”
Bright Future wamefanikiwa kugundua vidonge maalum, vinavyofanya kazi kwa njia mbili muhimu: 1. Kudhibiti Uzalishaji wa DHT: Vidonge hivi vimeundwa ili kuzuia uzalishaji wa kiwango cha DHT kinachoweza kuathiri tezi dume yako, bila kusababisha madhara yoyote mwilini. Program hii inahakikisha kiwango cha DHT kinazalishwa kwa usahihi, hivyo kuondoa hatari ya tezi dume kuvimba zaidi.
2. Kuyeyusha Uvimbe: Vidonge hivi pia vina uwezo wa kuyeyusha uvimbe uliopo na kuirudisha tezi dume yako kwenye hali yake ya awali kama vile mafuta yaliyoganda yanavyoyeyuka kwenye kikaangio cha moto!
Kwa hivyo, unapotumia “ProstGuard Program” hii siyo tu unauondoa uvimbe wa tezi dume na kuzuia usirudi tena, bali pia utapunguza makali ya magonjwa yanayokuandama katika uzee. “ProstGuard Program” imetengenezwa na virutubisho vya asili vya Polysaccharide-peptide na Epimedium Extract kutoka kwenye mimea ya kichina, ambayo ndiyo inavyovipa vidonge hivi uwezo wa kipekee wa kuyeyusha uvimbe wa tezi dume bila madhara yoyote. ProstGuard Program ni salama kabisa! Imethibitishwa na mamlaka za chakula na dawa za kimataifa FDA na TMDA hapa Tanzania. Kwa hiyo, wasiwasi wa kupata madhara yoyote baada ya kutumia vidonge hivi uuweke pembeni. Vidonge hivi ni salama kwa afya yako. Unapoanza kutumia program hii, siku baada ya siku, wiki baada ya wiki, utaanza kuona mabadiliko makubwa: Uvimbe utaanza kuyeyuka taratibu. Utapata mkojo bila shida, na tatizo la kukojoa mara kwa mara litapotea. Usiku utaweza kulala bila kuamka ovyo kwenda kukojoa. Mfumo wako wa mkojo utarudi kuwa kama wa kijana wa miaka 25. ProstGuard Program ni tiba mpya na ya kipekee ambayo haijawahi kutokea.
Lakini usichukue maneno yangu pekee - sikiliza baadhi ya watu ambao tayari wamepata matokeo ya ajabu baada ya kutumia programu hii:
Anderson Jones....kutoka Dar

Juma Issa ... kutoka Mwanza Kabla ya kutumia ProstGuard Program, nilikuwa na tatizo sugu la kukojoa mara kwa mara. Nilihisi aibu sana nilipokuwa najiandaa kusafiri au kukutana na marafiki, nikijua sitakuwa na uwezo wa kukaa bila kwenda chooni. Nilikuwa nikisikia huzuni na kukata tamaa. Lakini baada ya kuanza programu hii, nimeshangaa jinsi ninavyoweza kukaa kwa saa nyingi bila kuhisi haja ya kwenda chooni. Nimeweza kurudi kwenye shughuli zangu za kawaida, na sasa ninafurahia maisha yangu tena. Salum Athuman ... kutoka Morogoro ProstGuard Program ni suluhisho la kweli. Nilikuwa nimechoshwa na kuamka mara kadhaa usiku kwenda kukojoa, huku mkojo ukiwa mdogo sana. Kila usiku ulikuwa ni kipande cha mateso. Nilihisi kama ningeishi maisha ya umaskini, nikitafuta usingizi lakini nikiwa na wasiwasi wa kuamka tena. Baada ya kutumia programu hii, sasa nalala usiku mzima bila kuamka hata mara moja. Maisha yangu yamebadilika sana; nina nguvu zaidi katika kazi zangu na nahisi raha kubwa. Abdul Karim ... kutoka Tabora Nina miaka 75, na nilifikiri ProstGuard Program haitakuwa na nguvu za kutosha kwangu. Nilikuwa nimejaribu tiba nyingi, lakini yote yalisababisha tu kutokueleweka zaidi. Nilijawa na maumivu ya mgongo na uvimbe wa tezi dume ulionisumbua sana. Lakini baada ya kutumia programu hii kwa muda, uvimbe umetoweka, maumivu yamepungua, na sasa naweza kufanya shughuli zangu za kila siku bila shida. ProstGuard Program ni tiba bora kabisa kwa matatizo ya uzee; imenifanya nijisikie kijana tena James Peter ... kutoka Iringa Wiki mbili baada ya kuanza kutumia ProstGuard Program, nilienda hospitalini kwa ajili ya vipimo. Niliweza kufika kwenye kliniki nikiwa na matumaini, lakini nilikuwa na wasiwasi pia. Matokeo yalikuwa ya kushangaza; uvimbe ulikuwa umetoweka kabisa! Daktari aliniuliza kwa mshangao, 'Umetumia nini mpaka kuondoa uvimbe bila upasuaji?' Nikamjibu kwa ujasiri, ni programu maalumu inayoitwa ProstGuard Program. Sasa, sina wasiwasi tena, na maisha yangu yamepata mwelekeo mpya.
Kama unavyoona, hivi ndivyo walivyopata nafuu baadhi ya watu waliokumbwa na matatizo haya baada ya kutumia programu hii maalumu. Dozi kamili inaanzia siku 30 yani (mwezi mmoja).
lakini ikiwa uvimbe wako sio mkubwa sana, unaweza kuona matokeo mapema sana.
Hata hivyo, tunakushauri kumaliza dozi yote ili kuzuia uvimbe usijirudie tena. Jinsi ya Kutumia ProstGuard Program. ProstGuard Program ina bidhaa mbili. Bidhaa ya kwanza inatokana na Polysaccharide-peptide. Meza vidonge viwili mara mbili kwa siku (2×2) asubuhi na usiku baada ya chakula. Bidhaa ya pili ambayo inatokana na Epimedium Extract. Meza vidonge viwili mara tatu kwa siku (2×3) asubuhi, mchana na usiku. Baada ya chakula. Najua unajiuliza………… ProstGuard Program Inagharimu Kiasi Gani? Virutubisho vya kutatua changamoto ya tezi dume kutoka makampuni mengine vinaweza kuuzwa hadi 1,000,000/= kwa dozi. Lakini, si kila virutubisho vina uwezo wa kutibu tatizo hili. Leo, unaweza kupata dozi kamili ya mwezi ya ProstGuard Program kwa bei rafiki ya 700,000/= tu, badala ya 1,000,000/=!
Lakini kuna zaidi! Hutalipia hata 700,000/= kupata dozi kamili ya ProstGuard Program. Kwa sasa, unaweza kujipatia dozi kamili kwa 475,700/= tu! Ndiyo, umesikia sawa, punguzo kubwa sana kwa ajili yako! Kwa Nini Bei Hii Imepunguzwa? Sababu ni rahisi: watu waliopona kwa kutumia ProstGuard Program wamekuwa mabalozi wa huduma hii.
Wanawaleta wateja wengi kwetu kutokana na matokeo bora waliyopata. Kwa kuwa na imani kamili na bidhaa hii, nimeamua kupunguza bei ili iwe rahisi kwako kupata dozi kamili na hatimaye kuwa balozi mzuri kama wao.
Malipo kwa Awamu Huna haja ya kulipa 475,700/= mara moja! Ikiwa huwezi kulipa yote kwa wakati mmoja, nimeweka utaratibu wa kuchukua dozi kwa awamu mbili:
Awamu ya Kwanza Nusu dozi 237,850/=
Awamu ya Pili Nusu dozi 237,850/=
Fanya uamuzi sahihi leo na anza safari yako ya kuimarisha afya yako na ProstGuard Program! Lakini Kumbuka! Punguzo Hili Halitodumu Milele! Dawa hizi zinatengenezwa Marekani, na mzigo tulionao kwasasa Tanzania ni wa watu 97 tu. Hivyo, punguzo hili la bei na utaratibu wa kuchukua kwa awamu utapatikana kwa wateja wa kwanza 97 tu. Wale watakaonunua ProstGuard Program watapata fursa ya kusajiliwa kwenye “Club” yetu ya kipekee inayoitwa “dume clinic.” ambapo utapata usimamizi hadi utakapo pona kabisa tatizo lako la uvimbe wa tezi dume. Hata Kama tatizo lako ni sugu yani la muda mrefu basi tutakusimamia na kukuboreshea huduma hadi pale utakapo pona kabisa. Pia faida nyingine kubwa ya kuwa kwenye Club hii ni kuendelea kupata punguzo la bei kwa oda zote zijazo, hata kama bidhaa nyingine zitakuja kutoka Marekani. Na pia tutakua na mafunzo maalum juu ya ulaji sahihi na Mazoezi sahihi kwa watu mwenye changamoto ya tezi dume. Na kutoa ufafanuzi na msaada kwa changamoto nyingine zinazo wakabili wanaume. Kulingana na hatua ya ugonjwa ulipo fikia matokeo yanaweza kutofautiana kulingana na mtu na hali yake ya afya.Ndio maana tumeandaa hii club ya dume clinic ili kukusimamia kwa ukaribu zaidi hadi utakapo pona kabisa. Kumbuka! Watu 97 wanaonekana wengi, lakini tangazo hili linafikia maelfu ya Watanzania. Kwa hiyo, ndani ya siku au wiki chache, ofa hii itakuwa imekwisha. Ukipitwa na nafasi hii, itakubidi kusubiri kwa siku 90 (miezi 3) hadi mzigo mwingine utakapofika Tanzania kutoka Marekani. Wakati huo, uvimbe unaweza kuongezeka na kuleta madhara makubwa Sikuombei itokee hivyo lakini ni vyema ukachukuwa Oda yako mapema kwasababu zipo Oda za watu 97 tu kwa sasa.
Mbali na punguzo kubwa yani ofa niliokupa ya programu hii lakini bado kuna ambaye bado anajisemea bei hii mbona ni kubwa sana bado!? Kwel kwa upande wako upo sahihi kabisa kua…… Bei ni kubwa, ngoja nikuulize swali, unadhani ni kwanini watu wengine wanalipia kiwango hicho cha pesa ili kupata huduma hii? Bila shaka hufahamu ni kwanini!............. Ni kwa sababu hawalipii bidhaa, wanalipia matokeo watakayo yapata baada ya kutumia program hii……… Bila shaka hata wewe upo tayari kumaliza kabisa changamoto yako si ndiyo …? Kama ni ndiyo utamalizaje changamoto yako bila kulipia gharama hii.....? Je Unaweza kuniambia makadirio ya gharama ambazo unaweza kuja kutumia kutatua tatizo lako utakapoanza kupata madhara yakuondolewa korodani, matatizo ya figo ya kudumu au kufanyiwa upasuaji mara kwa mara? Bila shaka hujui gharama yake……. Kumbuka, afya yako ina thamani gani kwako? Kwa utafiti ambao nimeufanya/ Kulingana na uzoefu wangu changamoto uliyonayo kwa sasa usipoweza kuitatua mapema inaweza kuja kukugharimu zaidi ya milion 3…….
Je upo tayari kuja kulipa zaidi ya 3,000,000/= kwa baadae au upo tayari kulipa 475,700/=, Sasa hivi ili kumaliza changamoto hii moja kwa moja na kuepusha madhara mengine…? Bila shaka upo tayari…. Lakini Pengine umetumia dawa za aina mbalimbali lakini hazijakusaidia kupona tatizo lako. Zaidi umeishia kupoteza pesa zako bure na unaogopa kuzidi kupoteza. Naelewa unavyojisikia lakini kukuhakikishia kwamba programu hii ya "ProstGuard" itakusaidia kuondokana na tatizo lako na likaisha kabisa, "ProstGuard" hii utaipata kwa dhamana (Guarantee).

Dhamana hii iko hivii… Tumia program hii ya "ProstGuard" kwa muda wa siku 30 nina uhakika utaipenda kama tatizo lako ni la muda mrefu yani limekua sugu tumia ProstGuard kwa mda wa siku 90. Ikitokea umemaliza dozi na haijakupatia matokeo niliyoyasema hapo juu piga simu 0747576950 kutoa taarifa na utarudishiwa pesa zako zote bila kuulizwa swali lolote. Aidha "ProstGuard" ikusaidie upone tatizo lako kabisa au nikurudishie pesa zako zote. Huna cha kupoteza. Jambo lingine la muhimu unaweza fanya hivi….. Ili kuthibitisha kuwa hii ni programu ni yenye matokeo makubwa, nakushauri uanze kwa kupima hali ya tezi dume yako sasa hivi. Baada ya kuanza kutumia programu hii, ndani ya siku 15 tu, utarudi clinic kupima tena ili uone tofauti kubwa kwenye afya yako. Lakini hata kabla ya kufikia siku ya 15, utaanza kujionea mabadiliko mwenyewe ndani ya siku 7 tu: Utakojoa bila kupata shida au maumivu. Utarudi kuwa kama kijana Safari za usiku za kwenda kukojoa zitapungua na hatimaye kukatika kabisa. Hii ni hatua thabiti kuelekea kwenye maisha yenye afya bora na faraja. Ukianza kutumia hii program ya “ProstGuard” utashuhudia matokeo makubwa zaidi ya matarajio yako! Unachotakiwa kufanya ni kuamini na kuchukua hatua sasa. Ni wakati wako wa kurejesha afya na amani ya akili! Hivyo basi……… Kwa Sasa, Unachotakiwa Kufanya ni Hiki: Angalia mpangilio wa dozi hapo juu, kisha jaza fomu ili kutuma oda yako na kuanza safari ya kuondokana na uvimbe wa tezi dume bila upasuaji! Una nafasi ya kurejesha afya yako. Malipo yote yanafanyika kwa njia ya Lipa kwaM-pesa au CRDBank au M-pesa au AirtelMoney au Tigo pesa (Mixx by Yas) Lipa namba ya M-pesa ni 5715784 jina RASHIDI NUHU MSHANA. Namba ya Account ya CDB Bank ni 0152998964000 jina RASHIDI NUHU MSHANA. Namba ya voda ni 0747576950 jina RASHIDI NUHU MSHANA.
Namba ya Airtel ni 0782506950 jina RASHIDI NUHU MSHANA.
Namba ya tigo (Yas) ni 0776506950 jina RASHIDI NUHU MSHANA. Mpendwa mteja nakuomba uwe na amani….. Ninapokuomba uweke imani yako kwenye programu ninayokupa, najua inaweza kuwa ngumu kuamini mtu usiyemfahamu moja kwa moja. Hata hivyo, naomba nikuondoe hofu hiyo na kuthibitisha kwamba pesa zako ziko salama kabisa. Mimi ni RASHIDI NUHU MSHANA, na majina yangu kamili ndiyo hayo hayo yanayoonekana kwenye njia za malipo ambazo nimeweka. Hii ina maana kwamba namba za simu na njia za malipo nimesajili kwa kutumia NIDA yangu, na kila kitu kiko wazi na salama. Katika dunia ya leo, ambapo teknolojia imeifanya dunia kuwa kijiji, kunipata ikiwa kuna tatizo ni rahisi sana. Ukishirikiana na vyombo vya usalama, unaweza kunipata popote pale nilipo. Kwa hiyo, hauna sababu ya kuwa na wasiwasi wa kupoteza pesa zako – mimi ni mfanyabiashara halali, ninayejali uaminifu wangu na kuridhika kwa wateja wangu. Lengo langu ni kuhakikisha unapata huduma bora na unafikia afya njema bila hofu yoyote! Amini, chukua hatua, na uanze safari yako ya kurejea kwenye afya bora.
Hivyo basi………… Kwa mtu wa Mwanza hutakiwi kutuma hela kwasababu utaletewa mpaka popote utakapokuwa kwa gharama zangu mwenyewe halafu baada ya kupokea mzigo wako ndipo utakapofanya malipo.
Rashid's Free Delivery service

Kwa wa mkoani pia nitakusafirishia dozi yako bure kabisa bila kulipia gharama ya usafiri. Kwahiyo hatua ya kwanza ni kujaza fomu ya kutuma oda ya dozi uliyoichagua alafu baada ya hapo kama upo Mwanza unasubiri kuletewa siku uliyochagua na........ Kama upo mkoani baada ya kujaza fomu unafanya malipo kwanza ya gharama ya dozi halafu baada ya hapo mzigo wako unatumwa mkoani ulipo kwa njia ya bus au boat (wale wa zanzibar) Kujaza fomu ni rahisi. Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa “ODA YANGU”. Baada ya kubonyeza sehemu hiyo itafunguka fomu ya kujaza taarifa zako na kutuma oda yako (Taarifa Zako zitatunzwa hatakuwepo mtu mwingine tofauti na mimi atakayejua kuhusu tatizo lako) Bonyeza sehemu hii sasa hivi. 👇 👇👇
Ahsante kwa muda wako. Ni mimi, Mr Rashid! >>>0747576950<<< P.S: Kama nilivyokwambia zipo oda za watu 97 tu kwa sasa. Saa iliyopo hapo itakaposoma sifuri maana yake oda zote zimechukuliwa na tangazo hili hautoliona tena mpaka pale tutakapopata mzigo mpya na kuanza kutangaza kwa mara nyingine tena. Kwahiyo, usiendelee kusubiri wakati suluhisho la tatizo lako liko mbele yako. Tuma oda yako mapema kabla hujawahiwa.
This site is not a part of the FacebookTM website or FacebookTM Inc. Additinally, this site is NOT endorsed by FacebookTM in any way. FACEBOOKTM is a trademark of FACEBOOKTM, inc.